3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
32 Na hesabu ya matoleo ya kuteketezwa ambayo kutaniko hilo lilileta ikawa ng’ombe 70, kondoo-dume 100, wana-kondoo dume 200—hao wote wakiwa ni toleo la kuteketezwa kwa Yehova;+