Kumbukumbu la Torati 32:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+ Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+
46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+
2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+