2 Mambo ya Nyakati 31:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila kazi aliyofanya ili kumtafuta Mungu wake, iwe ni kuhusiana na utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli+ au kuhusiana na Sheria na amri, aliifanya kwa moyo wote, naye alifanikiwa.
21 Na kila kazi aliyofanya ili kumtafuta Mungu wake, iwe ni kuhusiana na utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli+ au kuhusiana na Sheria na amri, aliifanya kwa moyo wote, naye alifanikiwa.