Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Wafilisti+ wakavamia majiji ya Shefela+ na Negebu+ katika Yuda na kuteka Beth-shemeshi+ na Aiyaloni+ na Gederothi+ na Soko+ na miji yake ya kandokando na Timna+ na miji yake ya kandokando na Gimzo na miji yake ya kandokando; nao wakaanza kukaa humo.

  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki