Methali 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+ Methali 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye.+ Isaya 36:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao wakaendelea kukaa kimya wala hawakumjibu neno lolote,+ kwa maana amri ya mfalme ilisema: “Hampaswi kumjibu.”+ 2 Timotheo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+
7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+
21 Nao wakaendelea kukaa kimya wala hawakumjibu neno lolote,+ kwa maana amri ya mfalme ilisema: “Hampaswi kumjibu.”+
24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+