1 Wafalme 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nawe ukitembea katika njia zangu kwa kushika masharti+ yangu na amri zangu, kama Daudi baba yako alivyotembea,+ mimi pia nitazirefusha siku zako.”+ 1 Wafalme 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+
14 Nawe ukitembea katika njia zangu kwa kushika masharti+ yangu na amri zangu, kama Daudi baba yako alivyotembea,+ mimi pia nitazirefusha siku zako.”+
5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+
2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+