5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+
17 “Na wewe ukitembea mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu+