Zaburi 38:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi, kama kiziwi, nikawa siwasikilizi;+Na kama mtu asiyeweza kusema, nikawa sifungui kinywa changu.+ Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Mhubiri 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 wakati wa kupasua+ na wakati wa kushona,+ wakati wa kukaa kimya+ na wakati wa kusema;+
13 Lakini mimi, kama kiziwi, nikawa siwasikilizi;+Na kama mtu asiyeweza kusema, nikawa sifungui kinywa changu.+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+