2 Samweli 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Daudi akaendelea kumwambia Abishai na watumishi wake wote: “Tazama, mwanangu mwenyewe, ambaye ametoka katika viuno vyangu, anaitafuta nafsi yangu;+ si zaidi sasa Mbenyamini huyu!+ Mwacheni alaani, kwa maana Yehova amemwambia hivyo!
11 Na Daudi akaendelea kumwambia Abishai na watumishi wake wote: “Tazama, mwanangu mwenyewe, ambaye ametoka katika viuno vyangu, anaitafuta nafsi yangu;+ si zaidi sasa Mbenyamini huyu!+ Mwacheni alaani, kwa maana Yehova amemwambia hivyo!