Zaburi 39:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nikawa asiyeweza kusema kwa kukaa kimya;+Nikaendelea kulinyamazia lililo jema,+Na kuumia kwangu kukatengwa. Zaburi 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+ Amosi 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi yeye aliye na ufahamu atakaa kimya wakati huo, kwa maana utakuwa wakati wenye taabu.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.
2 Nikawa asiyeweza kusema kwa kukaa kimya;+Nikaendelea kulinyamazia lililo jema,+Na kuumia kwangu kukatengwa.
9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.