Isaya 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na mwishowe mfalme wa Ashuru akamtuma Rabshake+ kutoka Lakishi+ kwenda Yerusalemu,+ kwa Mfalme Hezekia, akiwa na jeshi kubwa, naye akasimama tuli kando ya lile bomba+ la kidimbwi cha juu+ kwenye njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+ Isaya 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hapo Rabshake+ akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana na Libna,+ kwa maana alikuwa amesikia kwamba ameondoka Lakishi.+
2 Na mwishowe mfalme wa Ashuru akamtuma Rabshake+ kutoka Lakishi+ kwenda Yerusalemu,+ kwa Mfalme Hezekia, akiwa na jeshi kubwa, naye akasimama tuli kando ya lile bomba+ la kidimbwi cha juu+ kwenye njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+
8 Baada ya hapo Rabshake+ akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana na Libna,+ kwa maana alikuwa amesikia kwamba ameondoka Lakishi.+