Isaya 36:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu+ karani,+ wakatoka nje, wakamjia. Isaya 36:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba,+ na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu karani wakaja kwa Hezekia, mavazi yao yakiwa yameraruliwa,+ wakamwambia maneno ya Rabshake.+
3 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu+ karani,+ wakatoka nje, wakamjia.
22 Lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba,+ na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu karani wakaja kwa Hezekia, mavazi yao yakiwa yameraruliwa,+ wakamwambia maneno ya Rabshake.+