Mwanzo 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+ 2 Wafalme 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya kile kitabu cha ile sheria, akayararua mavazi+ yake mara moja.
29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+
11 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya kile kitabu cha ile sheria, akayararua mavazi+ yake mara moja.