Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 44:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha wakararua nguo zao za kujitanda,+ na kila mmoja akainua mzigo wake na kuurudisha juu ya punda wake, wakarudi jijini.

  • 2 Samweli 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Daudi akashika mavazi yake akayararua,+ na pia watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya hivyo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya ile sheria, akayararua mavazi yake mara moja.+

  • Yeremia 36:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao hawakuingiwa na hofu yoyote;+ na mfalme wala watumishi wake wote, waliokuwa wakisikiliza maneno hayo yote, hawakurarua mavazi yao.+

  • Yoeli 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki