Mwanzo 44:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha wakararua nguo zao za kujitanda,+ na kila mmoja akainua mzigo wake na kuurudisha juu ya punda wake, wakarudi jijini. 2 Samweli 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Daudi akashika mavazi yake akayararua,+ na pia watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya hivyo. 2 Mambo ya Nyakati 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya ile sheria, akayararua mavazi yake mara moja.+ Yeremia 36:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao hawakuingiwa na hofu yoyote;+ na mfalme wala watumishi wake wote, waliokuwa wakisikiliza maneno hayo yote, hawakurarua mavazi yao.+ Yoeli 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+
13 Kisha wakararua nguo zao za kujitanda,+ na kila mmoja akainua mzigo wake na kuurudisha juu ya punda wake, wakarudi jijini.
11 Ndipo Daudi akashika mavazi yake akayararua,+ na pia watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya hivyo.
19 Na ikawa kwamba mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya ile sheria, akayararua mavazi yake mara moja.+
24 Nao hawakuingiwa na hofu yoyote;+ na mfalme wala watumishi wake wote, waliokuwa wakisikiliza maneno hayo yote, hawakurarua mavazi yao.+
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+