2 Wafalme 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakaliteka+ baada ya miaka mitatu; Samaria lilitekwa katika mwaka wa sita wa utawala wa Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Hoshea wa Israeli.
10 Nao wakaliteka+ baada ya miaka mitatu; Samaria lilitekwa katika mwaka wa sita wa utawala wa Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Hoshea wa Israeli.