Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+

  • 2 Wafalme 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.

  • Zaburi 135:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nchi yao imejaa miungu isiyo na thamani.+ Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu, kile ambacho vidole vya mtu vimetengeneza.+

  • Hosea 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana katika Israeli kimetokea hata kitu hiki.+ Fundi tu ndiye aliyekifanya,+ wala si Mungu; kwa maana ndama wa Samaria atavunjika vipande-vipande.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki