Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+ 2 Wafalme 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?
8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+
28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?