Mwanzo 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+