Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Baada ya hayo akasema; “Niache niende, kwa maana kumepambazuka.” Naye akajibu, akasema: “Mimi sitakuacha uende mpaka unibariki kwanza.”+

  • Hesabu 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi sasa njoo, tafadhali; uwalaani+ watu hawa kwa ajili yangu, kwa maana ni wenye nguvu kuliko mimi. Huenda nitaweza kuwapiga nami niwafukuze kutoka katika nchi; kwa maana najua vema kwamba yule unayembariki ni mtu aliyebarikiwa naye yule unayemlaani, amelaaniwa.”+

  • Methali 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki