Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Tamaa ya moyo wake umempa,+

      Na matakwa ya midomo yake hukuyazuilia.+ Sela.

  • Zaburi 66:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa kweli Mungu amesikia;+

      Ameisikiliza sauti ya sala yangu.+

  • Mathayo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.

  • Mathayo 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na mambo yote mnayoomba katika sala, mkiwa na imani, mtapokea.”+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

  • 1 Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki