Zaburi 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tamaa ya moyo wake umempa,+Na matakwa ya midomo yake hukuyazuilia.+ Sela. Zaburi 66:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa kweli Mungu amesikia;+Ameisikiliza sauti ya sala yangu.+ Mathayo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa. Mathayo 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na mambo yote mnayoomba katika sala, mkiwa na imani, mtapokea.”+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+