Methali 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+ Isaya 41:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nimemwamsha mtu kutoka kaskazini, naye atakuja.+ Kutoka mashariki+ ataliitia jina langu. Naye atakuja juu ya watawala-wasaidizi kana kwamba wao ni udongo+ na kama vile mfinyanzi anayekanyagia chini chombo kibichi. Maombolezo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa habari ya wana wa Sayuni wenye thamani,+ waliopimwa uzito kwa kulinganishwa na dhahabu safi,Lo! jinsi wamehesabiwa kama mitungi mikubwa ya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!+
23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+
25 “Nimemwamsha mtu kutoka kaskazini, naye atakuja.+ Kutoka mashariki+ ataliitia jina langu. Naye atakuja juu ya watawala-wasaidizi kana kwamba wao ni udongo+ na kama vile mfinyanzi anayekanyagia chini chombo kibichi.
2 Kwa habari ya wana wa Sayuni wenye thamani,+ waliopimwa uzito kwa kulinganishwa na dhahabu safi,Lo! jinsi wamehesabiwa kama mitungi mikubwa ya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!+