Mwanzo 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+ Yoshua 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao katika urithi wao wakawa na Beer-sheba+ pamoja na Sheba, na Molada,+
14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+