Mwanzo 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo. Mwanzo 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hivyo akakiita Shiba. Hiyo ndiyo sababu jina la jiji hilo ni Beer-sheba+ mpaka leo hii. Yoshua 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Hasar-shuali+ na Beer-sheba+ na Biziothia,
31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo.