Mwanzo 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo. Yoshua 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao katika urithi wao wakawa na Beer-sheba+ pamoja na Sheba, na Molada,+
31 Hiyo ndiyo sababu aliita mahali hapo Beer-sheba,+ kwa sababu wote wawili walikuwa wamekula kiapo hapo.