8 Naye akawaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi pamoja na mifugo mingi sana, pamoja na fedha na dhahabu na shaba na chuma na mavazi kwa wingi sana.+ Chukueni fungu lenu la nyara+ za adui zenu pamoja na ndugu zenu.”
24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+