Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akawaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi pamoja na mifugo mingi sana, pamoja na fedha na dhahabu na shaba na chuma na mavazi kwa wingi sana.+ Chukueni fungu lenu la nyara+ za adui zenu pamoja na ndugu zenu.”

  • 1 Samweli 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+

  • Zaburi 68:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata wafalme wa majeshi wanakimbia, naam, wanakimbia.+

      Lakini mwanamke anayekaa nyumbani, hugawa nyara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki