27 Nawe utagawa nyara katika sehemu mbili kati ya wale walioshiriki katika pigano ambao walitoka nje kufunga safari na wale wengine wote wa kusanyiko.+
24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+