Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo wakamuuliza+ tena Yehova: “Je, mtu huyo amekwisha kuja hapa?” Ndipo Yehova akasema: “Tazama, amejificha+ kati ya mizigo.”

  • 1 Samweli 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+

  • 1 Samweli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+

  • 1 Samweli 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Daudi akaendelea kufuatilia,+ yeye pamoja na watu mia nne, lakini watu mia mbili waliokuwa wamechoka sana wasiweze kuvuka lile bonde la mto la Besori+ wakasimama tuli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki