22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+
13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+
10 Na Daudi akaendelea kufuatilia,+ yeye pamoja na watu mia nne, lakini watu mia mbili waliokuwa wamechoka sana wasiweze kuvuka lile bonde la mto la Besori+ wakasimama tuli.