1 Samweli 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+
24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+