1 Samweli 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo wakamuuliza+ tena Yehova: “Je, mtu huyo amekwisha kuja hapa?” Ndipo Yehova akasema: “Tazama, amejificha+ kati ya mizigo.” 1 Samweli 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yese akamwambia Daudi mwana wake: “Tafadhali, wapelekee ndugu zako hii efa ya nafaka iliyochomwa+ na hii mikate kumi, uwapelekee ndugu zako haraka kambini.
22 Kwa hiyo wakamuuliza+ tena Yehova: “Je, mtu huyo amekwisha kuja hapa?” Ndipo Yehova akasema: “Tazama, amejificha+ kati ya mizigo.”
17 Ndipo Yese akamwambia Daudi mwana wake: “Tafadhali, wapelekee ndugu zako hii efa ya nafaka iliyochomwa+ na hii mikate kumi, uwapelekee ndugu zako haraka kambini.