Kumbukumbu la Torati 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova atakuagizia baraka kwenye maghala yako ya chakula+ na kila kazi unayofanya,+ naye hakika atakubariki katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe. Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+
8 Yehova atakuagizia baraka kwenye maghala yako ya chakula+ na kila kazi unayofanya,+ naye hakika atakubariki katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.