6 Kwa hiyo Abrahamu akafanya haraka kwenda katika hema alimokuwa Sara, akasema: “Fanya haraka! Chukua vipimo vitatu vya sea vya unga laini, ukande donge na kuoka keki za mviringo.”+
20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote.