Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba,+ yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu; naye akalijenga jiji hilo na kukaa ndani yake.

  • Yoshua 24:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Eleazari mwana wa Haruni akafa pia.+ Basi wakamzika katika Kilima cha Finehasi mwana wake,+ ambacho alikuwa amempa katika eneo lenye milima la Efraimu.

  • Waamuzi 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Gideoni akatuma wajumbe katika eneo lote lenye milima la Efraimu,+ akisema: “Shukeni mkutane na Midiani na mshike hayo maji mbele yao mpaka Beth-bara na Yordani.” Basi watu wote wa Efraimu wakakusanywa pamoja, nao wakayashika maji+ mpaka Beth-bara na Yordani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki