24 Na Gideoni akatuma wajumbe katika eneo lote lenye milima la Efraimu,+ akisema: “Shukeni mkutane na Midiani na mshike hayo maji mbele yao mpaka Beth-bara na Yordani.” Basi watu wote wa Efraimu wakakusanywa pamoja, nao wakayashika maji+ mpaka Beth-bara na Yordani.