Waamuzi 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo akawaambia: “Nifuateni,+ kwa maana Yehova amewatia adui zenu, Wamoabu, mkononi mwenu.”+ Nao wakamfuata, wakateka vivuko+ vya Yordani juu ya Wamoabu, wala hawakumruhusu mtu yeyote avuke.
28 Ndipo akawaambia: “Nifuateni,+ kwa maana Yehova amewatia adui zenu, Wamoabu, mkononi mwenu.”+ Nao wakamfuata, wakateka vivuko+ vya Yordani juu ya Wamoabu, wala hawakumruhusu mtu yeyote avuke.