-
Waamuzi 3:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Ndipo akawaambia, “Nifuateni, kwa sababu Yehova amewatia maadui wenu, Wamoabu, mikononi mwenu.” Nao wakamfuata, wakateka vivuko vya Yordani ili kuwazuia Wamoabu wasikimbie, na hawakumruhusu mtu yeyote avuke.
-