Waamuzi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa kwamba, mara tu Gideoni aliposikia masimulizi ya ndoto hiyo na maelezo yake,+ akaanza kuabudu.+ Kisha akarudi katika kambi ya Israeli na kusema: “Simameni,+ kwa kuwa Yehova ametia kambi ya Midiani katika mkono wenu.” 1 Samweli 17:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+
15 Na ikawa kwamba, mara tu Gideoni aliposikia masimulizi ya ndoto hiyo na maelezo yake,+ akaanza kuabudu.+ Kisha akarudi katika kambi ya Israeli na kusema: “Simameni,+ kwa kuwa Yehova ametia kambi ya Midiani katika mkono wenu.”
47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+