Yoshua 19:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba, yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akalijenga upya na kukaa ndani yake.
50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba, yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akalijenga upya na kukaa ndani yake.