-
Waamuzi 7:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Gideoni akatuma wajumbe katika eneo lote lenye milima la Efraimu, akisema, “Shukeni mkawashambulie Wamidiani, wazuieni wasivuke vijito vyote vya maji kufikia Beth-bara na pia Yordani.” Basi watu wote wa Efraimu wakakusanyika pamoja, nao wakawazuia kuvuka vijito vyote vya maji kufikia Beth-bara na Yordani.
-