Zaburi 113:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anampa mwanamke tasa makao katika nyumba+Kama mama ya wana aliye na shangwe.+Msifuni Yah!+ Waroma 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+ Wagalatia 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini Yerusalemu+ la juu liko huru, nalo ni mama yetu.+ Ufunuo 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+
26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
4 Nami nikaisikia hesabu ya wale waliotiwa muhuri, 144,000,+ waliotiwa muhuri kutoka kila kabila+ la wana wa Israeli:+