Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.

      Yehova hatawanyima jambo lolote jema

      Wale wanaotembea kwa utimilifu.+

  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • Wafilipi 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Mungu wangu atawajazia kikamili uhitaji wenu+ kulingana na utajiri wake katika utukufu kupitia Kristo Yesu.

  • Waebrania 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki