Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Zaburi 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*Na urithi wao utadumu milele.+