Kumbukumbu la Torati 33:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”* 2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili. Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye ni upendo wangu mshikamanifu na ngome yangu,Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,Ngao yangu na Yule ambaye nimejificha ndani yake,+Yule anayeyatiisha mataifa chini yangu.+
29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”*
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
2 Yeye ni upendo wangu mshikamanifu na ngome yangu,Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,Ngao yangu na Yule ambaye nimejificha ndani yake,+Yule anayeyatiisha mataifa chini yangu.+