2 Samweli 22:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akasema: “Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+ 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
2 Akasema: “Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+ 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.