2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+
Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,
Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kimbilio langu salama.+
3 Ninamlilia Yehova, anayestahili kusifiwa,
Nami nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.+