Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:2 w09 5/1 14 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:2 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125 Mnara wa Mlinzi,5/1/2009, uku. 141/15/1995, kur. 10-11
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+