Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+ Luka 1:46, 47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Maria akasema: “Nafsi* yangu inamtukuza Yehova,*+ 47 na roho yangu haitaacha kumshangilia Mungu Mwokozi wangu,+ Tito 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, fadhili za Mwokozi wetu, Mungu,+ na upendo wake kwa wanadamu ulipofunuliwa,
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
46 Naye Maria akasema: “Nafsi* yangu inamtukuza Yehova,*+ 47 na roho yangu haitaacha kumshangilia Mungu Mwokozi wangu,+