Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+

      Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.

  • Isaya 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wako,

      Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako.

      Nimeitoa Misri kuwa fidia kwa ajili yako,

      Ethiopia na Seba badala yako.

  • Habakuki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mimi nitashangilia katika Yehova;

      Nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+

  • Tito 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 lakini kwa wakati wake, alifanya neno lake lijulikane kupitia kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa+ kulingana na amri ya Mwokozi wetu, Mungu;

  • Yuda 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 kwa Mungu pekee aliye Mwokozi wetu kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, kuwe na utukufu, ukuu, nguvu, na mamlaka kwa umilele wote uliopita na sasa na mpaka umilele wote. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki