Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova atakuwa kimbilio salama* kwa wanaokandamizwa,+Kimbilio salama katika nyakati za taabu.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+