Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu, kutenda mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa;+ nanyi mtapata thawabu kubwa, na mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi, kwa sababu yeye huwaonyesha fadhili hata watu wasio na shukrani na waovu.+

  • Waroma 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili zake+ na uvumilivu*+ na subira,+ kwa sababu hujui kwamba Mungu kwa fadhili zake anajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+

  • Waefeso 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Bali mtendeane kwa fadhili, huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu alivyowasamehe ninyi kwa hiari kupitia Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki