Isaya 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+ Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+
18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+ Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+