22 Kwa hiyo, fikiria fadhili+ na ukali wa Mungu. Kuna ukali kuwaelekea wale walioanguka,+ lakini kukuelekea wewe kuna fadhili za Mungu mradi tu ukae katika fadhili zake; la sivyo, wewe pia utakatwa.
7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.